BALOZI MTEULE CP HAMAD AKUTANA NA NAIBU MKUU WA ITIFAKI YA JAMHURI YA MSUMBIJI



Mhe. Balozi Mteule CP Hamad Khamis Hamad akutana na Naibu Mkuu wa Itifaki wa Jamhuri ya Msumbiji, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Uwasilisha Hati ya Utambulisho kwa Mhe. Rais Daniel Chapo wa Msumbiji hapo baadae.




🚨Subscribe YouTUBE Channel yetu ya WASHINDI MEDIA.



Previous Post Next Post