Mchezo huo uliwapa kibali wanajangwani kushiriki
hatua ya fainali ambapo watakutana na Usm Alger ya Algeria timu hiyo imekuwa na
mwendelezo mzuri wakutopoteza michezo
yake kuanzia awali mchezo wakwanza walicheza na timu ya Marumo wakiwa nyumbani
walishinda mabao 2-0 na ugenini
walishindamabao 2-1 wameweza kumaliza michezo yao wakiwa na mabao 3 ya faida na
bao 1.
Timu hiyo kwa Mara ya kwanza imeweza kufuzu hatua ya
fainali wakiliwakisha taifa lao na
kuipepelulusha bendera ya nchi yao kwa kishindo kikubwa.
"Sisi mashabiki tuna ahidi kuwapa ushirikiano
kwanamna yeyote na tunawatakia maandalizi mema na kila la kher katika mchezo
wenu wa fainali dhidi ya Usm Alger tuna amini kombe La shirikisho ni lakwetu
tuna waamini wawakilishi wetu"walisema
Fiston Mayele pamoja na kenedy msonda walikatisha
malengo ya timu ya Marumo Gallant baada ya kuwafunga mabao mawili yaliyowafanya
alama za kushiri hatua hiyo kuishia njiani.
Licha ya vijana wa Marumo kuonyesha ubora wao na mashambulizi makali katika mchezo wao wa nusu fali wakutafuta alama za kuvuka hatua ya nusu fainali kwenda kwenye fainali lakini juhudi zao ziligonga mwamba mbele ya wanajangwani alimaarufu kama wananchi.