WANANCHI WAELIMISHWA NANENANE KUHUSU MBEGU BORA NA UJASIRIAMALI WA KINA MAMA VIJIJINI


Wananchi mbalimbali wakipatiwa elimu kwenye Banda la Shirika la mtandao wa jamii  (TGNP ) katika kilele cha maonyesho ya nanenane leo Agosti 8,2025 Nzuguni Jijini Dodoma  na kuonyeshwa mbegu za mazao mbalimbali zinazozalishwa na vikundi vya TGNP kupitia mradi wa Rural Women Cultivating Change ( RWCC)






Previous Post Next Post