VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI MAZISHI YA KATIBU WA UWT MKOA WA MBEYA



Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ameshiriki mazishi ya Ndg. Lucia Sulle aliyekuwa Katibu wa UWT Mkoa wa Mbeya iliyofanyika  Wilayani Babati leo tarehe 03 Aprili, 2025.


Aidha,Mwenyekiti wa UWT Taifa aliambatana na Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UWT Taifa, ambapo ibaada hiyo imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi  Taifa wakiwemo Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi Taifa, Wajumbe wa HalmashauriKuu ya CCM Taifa, Uongozi wa CCM Mkoa wa Manyara pamoja  na Viongozi wa Serikiali kutoka Maeneo  mbalimbali ya Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga.


















Previous Post Next Post